Sunday, November 23, 2014

WAISLAM WASALI PAMOJA NA WAKRISTO MJINI WASHINGTON

WAISLAMU WASALI IBADA YA JUMAPILI KANISANI MJINI WASHNGTON, VITENDO KAMA HIVI VINAKUFUNDISHA NINI ?
MIUNGANO YA MADHEHEBU YA JUMAPILI, UPAPA/RC, DINI ZA UPAGANI NA UISLAMU KUSALI SIKU MOJA VINAKUPA ISHARA GANI?
Miaka129 iliyopita Mama White alioneshwa haya “Waprotestanti … wanafungua mlango kwa upapa kupata tena katika Marekani ya Kiprotestanti mamlaka ambayo uliyoyapoteza katika Ulimwengu wa Zamani…Waprotestanti wa Marekani watakuwa mstari wa mbele katika kunyosha mikono yao juu ya shimo kubwa na kuushika mkono Umizimu; watanyosha mikono juu ya shimo kubwa na kushikana mikono na Mamlaka ya Rumi; na chini ya uongozi wa muungano huo wa utatu [Uprotestanti, Umizimu, na Ukatoliki], nchi hii itafuata katika nyayo za Rumi kwa kukandamiza uhuru wa dhamiri” (GC 
                        MUNGU AKUBARIKI SANA

No comments: