Tuesday, May 29, 2012

MPANGO WA FREEMASON KWA KANISA LA MUNGU.














 
Askari wao waliitwa Jacobins walikuwa na dini iitwayo Iluminat- SHETANI ANAYEAN. GAZA. Freemason ni kikosi cha tatu cha rumi. Walipewa majukumu ya kutawala benk. Hawa ndio wafadhili wa dunia na kwani benk zote kubwa ni mali yao. Wameweka alama zo mpaka kwenye pesa. Hawa ndio waanzilishi wa Federal Reserve bank. Ndio tunapata zile familia 26

Majesuit wanahusishwa na uzamishwaji wa meli ya Mv Titanic April 10,1918. mnamo mwaka 1913 january benk kuu ilianzishwa baada ya wapinzani kufa.
Kampeni haikuwa tayari, kwanza ilikuwa kuanzishwa na benk na hatimaye vita ya kwanza, na`vita ya pili ili kuangamiza kanisa la kirusi ambalo halikuwa tayari kuungana na Rumi.
Hawa ndio waanzilishi wa Reformer kuwatoa wale ambao ni waaminifu ndani ya kanisa. Watu wengi walitoka, waliacha kanisa kwa kufuata matengenezo yaliyosababisha vifo.

MUNGU AKUBARIKI SANA!
 

1 comment:

Unknown said...

Bwana ni Mwema, Kama tukinyenyekea tutaokolewa, kila mmoja atakaye andikwa jina lake katika kitabu cha uzima.