Sunday, September 7, 2014

UJUMBE WA MALAIKA WA TATU

Malaika wa tatu anatangaza hivi: “Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo” (Ufunuo 14:9,10). Maneno haya machache ni onyo muhimu kabisa ambalo Mungu amepata kulitoa katika Biblia. Anatuonya sisi dhidi ya kuisujudu mamlaka hii ambayo inapingana naye, naye anatuonya sisi tusipokee chapa yake. Mamlaka hii ni nani au ni kitu gani na alama yake ni alama gani?
Je umewahi kumuomba MUNGU akufunulie ili uweze kuepukana na mapigo 7?
Tafakari.
 

No comments: