Saturday, November 4, 2017

KIBONZO


Dawa ya nguvu za kiume hii hapa👇🏻👇🏻 Sasa wewe endelea kuzurura kutwa nzima kuwatafuta wamasai na waganga ili wakupatie dawa ya nguvu za kiume.
Ukiona mke wako anakwambia huna nguvu za kiume ujue mfuko umetoboka😁😁😁hakuna upungufu wa nguvu za kiume kwenye pesa na hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kiume duniani..my friend utamaliza soli ya kiatu bure kwa kuwatafuta wamasai badala yake fanya kazi kwa bidii ili ule chakula chenye rishe kamili, pia itakupunguzia mawazo na msongo wa maisha.
Na nyie akina mama mmmmmh Mungu anawaona, punguzeni midomo, kumsakama mtoto wa mwanamke mwenzako kutwa nzima, badala uwe faraja kwake wewe unakuwa chanzo cha stress.
Kama pesa ni rahisi kuipata mbona wewe huna? Kutwa nzima unamsumbua mbaba wa watu kwa nini asipate upungufu wa nguvu za kiume..

Mawazo + kukosa hela/maisha magumu = upungufu wa nguvu za kiume.

No comments: